Biblia ya Kiafrika

In Stock
$15.00

Biblia Read more

SKU: #slfizwIgbi

ISBN 9966-08-481-9; 2219 pages; publication 2010

Ni Biblia yenye miongozo ya kujipunzia kwa ajili ya sala na tafakari kwa kadiri ya matakwa yaliyoelezwa na Maaskofu Waafrika. Katika tangulizi, taribihi na tahakiki, mifano sambamba na mang'amuzi ya kiafrika imetolewa. Biblia imetajirishwa na marejeo mtambuko, masomo ya mzunguko wa miaka 3 wa liturujia, mfululizo na matukio na faharasa au faharasa ya mada.

Specifications Descriptions

Latest Reviews

No Review
0

You May Also Like